Mwongozo: Toleo la kwanza 2025
Kikundi hiki kitajulikana kwa jina la UMOJA WA KUSAIDIANA LSS. Kitaanzishwa rasmi mnamo Septemba, 2025.
Mtu yeyote anaweza kuwa mwanachama katika kikundi hiki iwapo ana sifa stahiki za kujiunga na kikundi kama zilivyoainishwa katika katiba hii.
NB: Kwa ujumla, mwanachama awe tayari kushiriki kazi za kikundi kwa kujitolea na kuhakikisha kuwa anakuwa na mchango mkubwa katika kukamilisha madhumuni ya kikundi hiki.
Mwanachama atakoma uanachama ikiwa mambo yafuatayo yatatokea:
NB: Kila aliyeridhia kuwa mwanachama wa umoja huu anapaswa kujiunga na M-KOBA (Bank mtandao) ambapo michango yote itakusanywa huko.
Kundi litakua na viongozi wafuatao:
Viongozi wote watapatikana kwa kupigiwa kura na wanachama wote. Uchaguzi utafanyika kila baada ya miaka mitatu.